Madawa yalikuwepo kabla ya akina Wema - Nikki
Rapa Nikki Mbishi amefunguka na kusema haamini kama kitengo cha kudhibiti dawa za kulevya hakijawahi kuwaona au kuwasikia watu wanaojihusisha na dawa hizo mpaka kufika hatua ya kuwakamata watu wadogo wadogo.