Polisi wanasambaza dawa za kulevya - Mrema

Augustino Mrema - Mwenyekiti Bodi ya Parole

Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya Parole, Augustino Lyatonga Mrema ameibuka na kusema kuwa wapo baadhi ya polisi wanagawa na kusambaza dawa za kulevya pia wanawasaidia baadhi ya waathirika wa dawa hizo waliopo magerezani kuzipata.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS