Magufuli afuta agizo la Mwakyembe kuhusu ndoa
Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amelifuta agizo lililotolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe linalotoa sharti la kuwa na cheti cha kuzaliwa kwa watu wote watakaofunga ndoa kuanzia tarehe 01 Mei, 2017.

