Mbunge Viti Maalum CHADEMA afariki dunia

Dkt Elly Macha (Enzi za uhai wake)

Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Viti Maalum (CHADEMA) akiwakilisha walemavu Dkt. Elly Macha amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS