Majaliwa amuagiza CAG kuchunguza mapato ya ATCL

Waziri Mkuu akisikiliza maelezo kutoka kwa Regina Masoud kuhusu mfumo mpy wa ukusanyaji mapato, ATCL

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema atamuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, kuchunguza ukusanyaji wa mapato ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS