Waziri Mkuu akisikiliza maelezo kutoka kwa Regina Masoud kuhusu mfumo mpy wa ukusanyaji mapato, ATCL
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema atamuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, kuchunguza ukusanyaji wa mapato ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL).