Tundu Lissu aachiwa kwa dhamana Tundu akishuka kwenye gari iliyomfikisha mahakamani akiwa amebeba suti yake Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka manne ya uchochezi. Read more about Tundu Lissu aachiwa kwa dhamana