Namthamini yawasitiri wanafunzi 673 mwaka mzima

Kutoka kushoto, Sophie Proches Mratibu wa Vipindi EATV, Basilisa Biseko Afisa masoko EATV Ltd, Joyce Kiria Mkurugenzi HAWA Foundation na Mratibu wa vipindi EA Radio, Irene Tillya

Kampuni ya East Africa Television Limited kwa kushirikiana na Taasisi ya Haki za Wanawake  (HAWA) imefanikiwa kuwasitiri  wanafunzi 673 kwa kuwapatia pedi za kujisitiri kipindi cha hedhi kupitia kampeni ya 'Namthamini'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS