Mwamuzi Simba Vs Mbeya City aadhibiwa Mwamuzi Jacob Adongo akizungumza na wachezaji wa timu zote mbili jana Mwamuzi Jacob Adongo aliyechezesha mechi kati ya Simba na Mbeya City iliyofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, amepewa onyo kali kwa kushindwa kutafsiri vizuri sheria za soka. Read more about Mwamuzi Simba Vs Mbeya City aadhibiwa