Mwamuzi Simba Vs Mbeya City aadhibiwa

Mwamuzi Jacob Adongo akizungumza na wachezaji wa timu zote mbili jana

Mwamuzi Jacob Adongo aliyechezesha mechi kati ya Simba na Mbeya City iliyofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, amepewa onyo kali kwa kushindwa kutafsiri vizuri sheria za soka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS