Sihitaji 'kiki' kutoa 'hit' - Maua Sama
Mwanadada anayetamba na ngoma ya Main Chick, Maua Sama amesema yeye hategemei 'kiki' ili ku-'hit' bali uzuri wa kazi zake, na kuwataka wasanii wengine waache kutafuta 'kiki' ili kupata majina bali wajikite kwenye kutengeza kazi nzuri.