Je, Mwadui kuendeleza uteja kwa Azam? Azam na Mwadui Azam FC, leo inashuka tena dimbani kuvaana na Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara (VPL) utakaofanyika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam saa 1.00 usiku. Read more about Je, Mwadui kuendeleza uteja kwa Azam?