Balozi akoleza ushindi wa Azam dhidi ya Mbabane Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini akiwa na ikosi cha Azam Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Mh. Richard Lupembe, ameipa mkono wa ushindi Azam FC kuelekea mchezo wa marudiano dhidi ya Mbabane Swallows ya Afrika Kusini. Read more about Balozi akoleza ushindi wa Azam dhidi ya Mbabane