ACT Wazalendo wamkaba koo Magufuli kuhusu Katiba
Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Rais John Magufuli ashughulikie suala la upatikanaji wa Katiba mpya ya Tanzania ambayo mchakato wake ulikwama tangu mwaka 2014 licha ya kufikia katika hatua ya Katiba Pendekezwa.

