Neno la Shamsa Ford kwa mumewe Chid Mapenzi

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford akiwa na muwewe Chid Mapenzi siku ya ndoa yao.

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye ni mke wa Chid Mapenzi amefunguka ya moyoni na kusema hata kama dunia nzima itakuwa ikimzomea mumewe, yeye ataendelea kumpenda kwani kitendo hicho hakiwezi kubadilisha mapenzi yake kwake. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS