Rais Magufuli aunda kamati kuchunguza mchanga
Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, ameteua kamati ya wataalamu watakaofanya uchunguzi kwa lengo la kubaini kiwango cha madini kilichomo katika makontena yenye mchanga wa madini yanayoshikiliwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

