Rais Magufuli aunda kamati kuchunguza mchanga

Rais Magufuli alipotembelea bandarini na kukutana na mchanga wa dhahabu uliokuwa tayari kusafirishwa nje ya nchi

Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, ameteua kamati ya wataalamu watakaofanya uchunguzi kwa lengo la kubaini kiwango cha madini kilichomo katika makontena yenye mchanga wa madini yanayoshikiliwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS