AUDIO: Juma Nature ambariki rasmi Harmorapa Juma Nature (kushoto) akiwa na Harmorapa Msanii mkongwe katika muziki wa bongo fleva, Juma Nature amembariki rapa anayechipukia Harmorapa na kuweza kufanya naye kazi chini ya producer T Touchez, iliyopewa jina la 'Kiboko ya Mabishoo' Read more about AUDIO: Juma Nature ambariki rasmi Harmorapa