Nyalandu atumiwa vitisho

Ndg, Lazaro Nyalandu

Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini. Mh. Lazaro Nyalandu ameomba kuombewa yeye pamoja na familia yake kwa kudai kwamba  amekuwa akipokea vitisho visivyo na idadi baada ya kuondoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS