Waziri mkuu atoa mwezi mmoja

Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ametoa mwezi mmoja kwa Ofisa Ardhi wa wilaya ya Namtumbo Bw. Maurus Yera kuhakikisha anatafuta ardhi ya kuwafidia wakazi wa kijiji cha Lwinga wilayani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS