Nilimpeleka binti yangu kununua sidiria - Master
Producer mkongwe wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania Master Jay, amefunguka na kuwaonya wababa wote wenye mabinti wa kike kuacha tabia ya kuwatenga watoto wao pindi wanapokuwa wamevunja ungo kwani kwa kufanya hivyo kuna uwezokano wa kumuharibu kisaikolojia.