Nilimpeleka binti yangu kununua sidiria - Master

Producer mkongwe wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania Master Jay, amefunguka na kuwaonya wababa wote wenye mabinti wa kike kuacha tabia ya kuwatenga watoto wao pindi wanapokuwa wamevunja ungo kwani kwa kufanya hivyo kuna uwezokano wa kumuharibu kisaikolojia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS