TFF yatangaza majina matatu kuwania Tuzo
Mabingwa wa Tanzania Bara Simba SC, wamefanikiwa kuzikalisha timu zote nchini kwenye majina ya wachezaji walioteuliwa kuwania Tuzo ya mchezaji Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu uliomalizika wa 2017/18 kwa kuingiza wachezaji watatu ambao wote kutoka ndani ya timu yao.