TFF yafungukia mchezo wa Gor Mahia dhidi ya Yanga
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Africa (CAF) limetaja waamuzi kutoka nchini Somalia kuchezesha mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi kati ya Gor Mahia ya Kenya na Young Africans ya Tanzania utakaochezwa Uwanja wa Moi Kasarani Julai 18,2018.