Lipumba, Seif waikosesha CUF Uchaguzi, UKAWA yapaa

Kushoto ni Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Msajili wa vyama, Prof. Ibrahi Lipumba, Kulia ni Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif.

Chama Cha Wananchi CUF kimeweka bayana kwamba hakitoshiriki katika uchaguzi huu mdogo wa marudio uliopangwa kufanyika nchini kote Agosti 12 , 2018 baada ya Kamati ya Utendaji kufanya uchambuzi wake na tathmini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS