Kigwangalla atumbua Askari 27
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla, amewasimamisha kazi Maofisa na Askari Wanyamapori wote 27 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania, TAWA ,katika Pori la Akiba Uwanda akiwemo Kaimu Meneja, Lackson Mwamezi kwa kushindwa kusimamia vizuri pori hilo.