"Nitanunua kipindi kumsifu Rais" - Mch. Msigwa

Mbunge wa Iringa Mjini, Mch. Peter Msigwa

Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA) ameweka bayana kwamba hahitaji kuviziwa na mtu yoyote katika suala la kusifu utendaji wa Rais Magufuli pamoja na serikali yake kwani ana uwezo wa kununua kipindi katika televisheni ili kuweza kufanya jambo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS