Tottenham yawa kinara Kombe la Dunia

Wachezaji Harry Kane mwenye jezi nyekundu na Dele Alli mwenye jezi nyeupe.

Klabu ya Tottenham Hotspur ya England inaoongoza kwa kuwa na wachezaji wengi zaidi kwenye timu 4 za taifa zilizofika hatua ya nusu fainali ya kombe la Dunia linaloendelea nchini Urusi. Nchi hizo ni England, Croatia, Ufaransa pamoja na Ubelgiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS