Jinsi kifuu cha Nazi kinavyosababisha Mabusha

Pichani kulia ni mtu mwenye ugonjwa wa Mabusha, kushoto ni vifuu vya Nazi.

Inakadiriwa kuwa karibu asilimia moja ya wanaume wote kote duniani huathiriwa na ugonjwa wa mabusha, kwa hapa nchini, tatizo hili ni maarufu sana maeneo ya mwambao wa Pwani ya Bahari ya Hindi, mikoa ya Pwani, Tanga na Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS