Wababe 8 wa Bball Kings wajulikana

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Mchenga Bball Kings na Oysterbay wakati wa mchezo wao leo.

Hatimaye timu 8 zitakazochuana katika hatua ya robo fainali ya michuano ya mpira wa Kikapu nchini Sprite Bball Kings, zimepatikana baada ya mechi za hatua ya 16 bora kukamilika jioni ya leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS