Baadhi ya wachezaji wa timu ya Mchenga Bball Kings na Oysterbay wakati wa mchezo wao leo.
Hatimaye timu 8 zitakazochuana katika hatua ya robo fainali ya michuano ya mpira wa Kikapu nchini Sprite Bball Kings, zimepatikana baada ya mechi za hatua ya 16 bora kukamilika jioni ya leo.