Lugola ataka wazo lake lisipotoshwe

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh. Kangi Lugola

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh. Kangi Lugola, amedai kauli ya kwamba atafunga bodaboda matela nchi nzima isipotoshwe na kuonekana kwamba amekurupuka na kwamba kipindi hiki yupo kwenye utafiti ambao utaweza kupelekea matokeo chanya yatakayobadilisha sheria na kanuni mbalimbali zilizopo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS