Azam FC na Simba watavuka vikwazo ?

Wachezaji wa Azam FC (kushoto) na Simba (kulia) katika matukio tofauti kwenye moja ya mechi zao kwenye Kombe la Kagame.

Klabu za soka za Azam FC na Simba SC zina nafasi ya kuweka rekodi endapo tu zitafanikiwa kushinda mechi zake za nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame ambazo zinachezwa leo jioni kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS