Wakulima waomba kulima bangi

Bangi ikiwa shambani.

Wananchi na wakulima wa kahawa mkoani Kagera wamelalamikia suala la kukamatwa wakati pindi wanapokuwa sokoni wakiuza zao hilo na kusema kuwa kuliko kuuza kahawa bora walime bangi kwani wakulima wa zao hilo hawako huru kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS