Bwege awafungukia wapinzani

Mbunge wa jimbo la Kilwa Kusini (CUF), Selemani Bungara ‘Bwege'

Mbunge wa jimbo la Kilwa Kusini (CUF), Selemani Bungara ‘Bwege’ amesema kuwa vyama vya upinzani vinapaswa kushikamana kwa ajili ya mafanikio katika uchaguzi wowote utakaofanyika nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS