Bodi ya Mikopo Tanzania yawapa 'offer' wanafunzi

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Abdul Razaq Badru.

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imewapa 'offer' maalum waombaji wa mikopo wa mwaka wa masomo 2018/2019 kwa kuwaongezea muda wa wiki mbili kutuma maombi hayo kwa njia ya mtandao kuanzia Julai 15 hadi Julai 31 mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS