Bao la Mario Mandžukić (mwenye jezi nyeusi) alilofunga dakika ya 109 na kuipeleka fainali timu yake.
Ufaransa ambao wameshawahi kutwaa ubingwa wa dunia mara moja, watacheza fainali ya kombe la dunia dhidi ya Croatia, taifa ambalo ndio litakuwa linacheza hatua hiyo kwa mara ya kwanza.