Wabunge wa CUF kuhama chama chao
Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Bungara 'Bwege' (CUF) ameweka wazi kwamba endapo kesi walizofungua yeye pamoja na viongozi wengine (Upande wa Maalim Seif) hazitamalizika mapema mpaka kipindi cha uchaguzi mkuu itabidi wafanye maamuzi magumu yeye na wabunge wenzake wa CUF kwa kuhama chama.