TFF yafanya maamuzi juu ya Yanga SC

Rais wa shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia

Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kimemuondoa Clement Sanga aliyekuwa mwenyekiti wa Bodi ya Ligi (TPLB) kwenye nafasi hiyo, kwa kukosa sifa baada ya klabu ya Yanga kuthibitisha Yusuph Manji kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS