Mchezaji Kipre Tchetche aliyeinua mikono juu akiwa kwenue jezi za klabu yake ya sasa Terengannu.
Tetesi zinaeleza kwamba mabingwa wa soka Afrika Mashariki na kati, Azam Fc wako mbioni kumrejesha mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo, Kipre Tchetche kwaajili ya msimu ujao wa ligi kuu Tanzania bara.