Simba hatarini kutokamilisha usajili

Kushoto ni kocha mpya wa Simba (Patrick Aussems) na kulia ni kaimu Rais wa Simba Salim Abdallah.

Klabu ya soka ya Simba huenda ikashindwa kukamilisha usajili wa kiungo mkongwe wa Mtibwa Sugar Hassan Dilunga, kutokana na kutofikia makubaliano na klabu yake mpaka sasa licha ya awali kuelezwa kuwa nyota huyo amesaini Simba kwa miaka miwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS