Rais ateua, Waziri avunja uteuzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Jenista Mhagama kuwa Waziri wa Nchi , Ofisi ya Waziri Mkuu.

Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge Kazi Vijana na Ajira Jenista Mhagama ameivunja bodi ya wadhamini ya Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kile alichodai ni kuimarisha shirika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS