Tanzania na miaka 6 ya mafanikio UNBoA

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Tanzania Prof. Mussa Assad (wa kwanza kushoto) akimkabidhi nafasi yake ya Ujumbe wa Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Chile.

Tanzania imemaliza muda wake wa miaka sita ya kuwa mjumbe wa bodi ya Ukaguzi wa Hesabu ya umoja wa Mataifa (UNBoA) na kukabidhi kijti kwa nchi ya Chile huku ikipata mafanikio mbali mbali ikiwemo kukabidhi ripoti 13 za ukaguzi wa mashirika na ofisi za umoja wa Mataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS