Singida United yakanusha kumchukua mchezaji Simba

Mchezaji Jamaly Mwambeleko wakati akitambulshwa Singida United.

Klabu ya soka ya Singida United imethibitisha kuwa imemsajili mchezaji Jamaly Mwambeleko kutoka Simba kwa usajili kamili tofauti na taarifa zilizoeleza kuwa wamemchukua kwa mkopo, huku wakiweka wazi kuwa wamemwongeza mwaka mmoja na sasa ni mchezaji wao kwa miaka miwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS