Katiba ya Simba itakayotumika kwenye uchaguzi Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Ibrahim Mkwawa. Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Ibrahim Mkwawa, amesema katiba ya Simba iliyosajiliwa mwaka huu 2018 baada ya mapendekezo kutoka kwa wanachama ndiyo itakayotumika katika uchaguzi mkuu ujao. Read more about Katiba ya Simba itakayotumika kwenye uchaguzi