Madiwani CHADEMA na CCM wazichapa hadharani Picha ya tukio wakati ngumi zikiendelea ukumbini Katika hali isiyokuwa ya kawaida ngumi zimerindima leo Oktoba 3, 2018 kwenye ukumbi wa Anatoglo uliopo Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam ambako umefanyika uchaguzi wa Naibu Meya. Read more about Madiwani CHADEMA na CCM wazichapa hadharani