Fahamu ubabe wa nahodha wa Taifa Stars

Wa kwanza kushoto ni nahodha msaidizi wa Taifa Stars Himid Mao akiwa na wachezaji wenzake Kessy, Samatta, Ulimwengu na Msuva kwenye kambi ya Stars.

Moja ya nyota wenye uwezo mkubwa wa kuwa viongozi kwenye soka la Tanzania ni kiungo wa zamani wa Azam FC, Himid Mao, ambaye amekuwa mbabe wa kitambaa cha unahodha kuanzia timu za vijana hadi sasa akiwa nahodha msaidizi wa Taifa Stars.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS