"Mo atapatikana akiwa mzima" – Manara Msemaji wa klabu ya soka ya Simba ambayo Mo Dewji ni mmoja wa wenye hisa,Haji Manara, amesema kwamba amezungumza na familia ya Mo Dewji na kuwataka wanasimba watulie, kwani wana amini atapatikana akiwa salama. Read more about "Mo atapatikana akiwa mzima" – Manara