CHADEMA yapigwa 'stop' jimboni kwa Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Hai. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimezuiwa kufanya mkutano pamoja na ziara ya viongozi wa chama hicho kitaifa, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro. Read more about CHADEMA yapigwa 'stop' jimboni kwa Mbowe