Mjadala ulivyotawala uteuzi wa Solskjaer Man U Ole Gunnar Solskjaer Klabu ya Manchester United ambayo jana ilimfuta kazi Jose Mourinho leo imemtangaza mchezaji wake wa zamani Ole Gunnar Solskjaer, kuwa kocha wa muda hadi mwisho wa msimu wa 2018/19. Read more about Mjadala ulivyotawala uteuzi wa Solskjaer Man U