"Demokrasia sasa imehamia Bungeni" - Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amesema demokrasia kwa sasa imehamia Bungeni kuwa hivyo wabunge mbalimbali watumie jukwaa hilo kueleza madai yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS