Mkuu wa Mkoa atangaza msako

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, ameagiza kuanza kwa msako na uhakiki wa vibali vya wamiliki wa silaha kwenye mkoa wake, lengo likiwa ni kudhibiti vitendo vya kiuhalifu vinavyotokana na matumizi mabaya ya silaha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS