Mchezaji, Zana Coulibaly (kushoto), Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Crescentius Magori (katikati) na Kocha, Patrick Aussems (kulia).
Ni rasmi sasa, muda ambao mlinzi mpya wa klabu ya Simba, Zana Coulibaly ataanza kuonekana uwanjani umejulikana kwa mujibu wa kocha mkuu wa 'Wekundu hao wa Msimbazi, Patrick Aussems.