Wafanyakazi wakiwa wameshika mabango yenye maneno ya kumpongeza Rais, Magufuli.
Wafanyakazi jijini Dar es salaam wameandamana kwa lengo la kumpongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa uamuzi wake wa kufuta kikokotoo kipya cha mifuko ya hifadhi za jamii na kurejesha cha zamani.