Takukuru yaeleza inachojivunia kukamata vigogo

Mkurugenzi wa TAKUKURU Diwani Othman.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imedai katika kipindi cha hivi karibuni taasisi hiyo imefanikiwa kushinda kesi zake mbalimbali tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma ambapo kesi nyingi zilikuwa ikipigwa chini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS