Polisi Dar yaanzisha msako wa bodaboda
Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam limetangaza operesheni ya kuwakamata baadhi ya watumiaji wa vyombo vya usafiri ikiwemo bodaboda kwa kosa la kutumia barabara ya magari yaendayo haraka ikiwa ni siku chache baada ya kutokea kwa vifo vya raia wawili ambao waligongwa