Zitto aleta majibu ya Sakata la CAG na Ndugai
Mbunge Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe amesema amepokea majibu kutoka kwa Katibu wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA), Akbar Khan kuhusu barua aliyomuandikia akimtaka kuingilia kati mzozo kati ya Spika wa Bunge, Job Ndugai na-

